Nyota wa Manchester City, Gabriel Jesus akishangilia na wachezaji wenzake, Riyad Mahrez na Phil Foden baada ya kuifungia timu yake mabao mawili dakika za 51 na 59 ikiwalaza Everton 2-1 katka mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Bao pekee la Everton limefungwa na Richarlison dakika ya 71 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
JESUS APIGA ZOTE MBILI MANCHESTER CITY YAICHAPA 2-1 EVERTON
By Alex Sonna
January 2, 2020 | 8:30 am

Related Stories
View all
Michezo
5 hours ago
UJERUMANI YAIFUMUA CURACAO KWA KIPIGO CHA 7-1 KOMBE LA DUNIA
Timu ya Taifa ya Ujerumani imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 7-1 dhidi ya Curacao katika mchezo wa hatua ya makundi ya Kombe la…
Michezo
8 hours ago
SIMBA SC YAENDELEZA MAKALI YAKE, YAICHAPA PAMBA JIJI 2-1
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Pamba Jiji katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Mabao…
