Mshambuliaji Tammy Abraham akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la ushindi dakika ya 87 ikiwalaza wenyeji, Arsenal 2-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates, London. Arsenal ilitangulia kwa bao la Pierre-Emerick Aubameyang dakika ya 13, kabla ya Jorginho kuisawazishia Arsenal dakika ya 83 PICHA ZADI SOMA HAPA
CHELSEA YAITANDIKA 2-1 ARSENAL PALE PALE EMIRATES
By Alex Sonna
December 30, 2019 | 4:17 am

Related Stories
View all
Michezo
7 hours ago
MAREKANI YAANZA KWA KISHINDO KOMBE LA DUNIA, YAICHAPA PARAGUAY 4-1
Timu ya Taifa ya Marekani imeanza vyema kampeni yake ya Kombe la Dunia baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-1 dhidi ya Paraguay…
Michezo
8 hours ago
CANADA YALAZIMISHWA SARE NYUMBANI
Timu ya Taifa ya Canada imeshindwa kutamba kwenye ardhi yake ya nyumbani baada ya kulazimishwa sare ya bao 1-1 dhidi ya Bosnia katika mchezo…
