Mshambuliaji Mzambia wa Azam FC, Obrey Chirwa akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo bao pekee dakika ya tisa ikiwalaza wenyeji, Polisi Tanzania 1-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara jioni ya leo Uwanja wa Ushirika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro. Mechi nyingine ya Ligi Kuu leo, Namungo FC wameshinda 1-0 ugenini dhidi ya JKT Tanzania bao pekee la Bgirimana Blaise dakika ya 90
AZAM FC,NAMUNGO ZANG’ARA UGENINI LIGI KUU VODACOM
By Alex Sonna
December 29, 2019 | 4:07 pm

Related Stories
View all
Michezo
5 hours ago
CANADA YAITOA AFRIKA KUSINI KOMBE LA DUNIA 2026
Timu ya Taifa ya Canada imekuwa timu ya kwanza kutinga hatua ya 16 Bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuibuka na ushindi…
Michezo
17 hours ago
RATIBA HATUA YA 32 KOMBE LA DUNIA 2026
𝐉𝐔𝐍𝐈 𝟐𝟎𝟐𝟔 Afrika Kusini vs Canada: Juni 28, Saa 4:00 Usiku (Uwanja wa Los Angeles) Morocco vs Uholanzi: Juni 30, Saa 10:00 Alfajiri (Uwanja…
