Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akiwa katika picha ya pamoja na Kamanda wa Polisi mkoa wa Simiyu, ACP William Mkonda na askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia mkoani humo wakati akiwa safarini kuelekea mkoani Dodoma. Picha na Jeshi la Polisi.