Mshambuliaji Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao la tatu dakika ya 66 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Brighton & Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Mabao mengine ya United yamefungwa na Andreas Pereira dakika ya 17 na Davy Propper aliyejifunga dakika ya 19, wakati la Brighton limefungwa na Lewis Dunk PICHA ZAIDI SOMA HAPA
MAN UNITED YAICHAPA BRIGHTON & HOVE ALBION 3-1 OLD TRAFFORD
By Alex Sonna
November 10, 2019 | 6:58 pm

Related Stories
View all
Michezo
7 hours ago
SENEGAL YAFUFUA MATUMAINI YA KUTINGA HATUA YA 32 BORA KOMBE LA DUNIA 2026
Timu ya Taifa ya Senegal imefufua matumaini ya kutinga hatua ya 32 Bora ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Iraq mabao 5-0…
Michezo
1 day ago
IVORY COAST YATINGA HATUA YA 32 BORA KWA KUICHAPA CURACAO 2-0
Mshambuliaji Nicolas Pepe aliiongoza Ivory Coast kutinga hatua ya 32 bora ya Fainali za Kombe la Dunia 2026 baada ya kufunga mabao mawili katika…
