Nahodha Lionel Messi akisikitika baada ya Barcelona kuchapwa mabao 3-1 na wenyeji, Levante katika mchezo wa La Liga leo Uwanja wa Ciudad de Valencia. Mabao ya Levante yamefungwa na Jose Campana dakika ya 61, Borja Mayoral dakika ya 63 na Nemanja Radoja dakika ya 68, wakati la Barcelona limefungwa na Messi kwa penalti dakika ya 38 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
LEVANTE YAIZAMISHA 3-1 BARCELONA LA LIGA
By Alex Sonna
November 3, 2019 | 5:40 am

Related Stories
View all
Michezo
6 hours ago
RATIBA HATUA YA 32 KOMBE LA DUNIA 2026
𝐉𝐔𝐍𝐈 𝟐𝟎𝟐𝟔 Afrika Kusini vs Canada: Juni 28, Saa 4:00 Usiku (Uwanja wa Los Angeles) Morocco vs Uholanzi: Juni 30, Saa 10:00 Alfajiri (Uwanja…
Michezo
8 hours ago
MIKOA MITATU YASHIRIKI TANZANITE CUP 2026
Na Mwandishi wetu, Mirerani TIMU za soka za mikoa mitatu ya kanda ya kaskazini ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro, za vijana wa chini ya…
