Kiungo Mmarekani, Christian Pulisic akishangilia baada ya kufunga mabao matatu dakika za 21, 45 na 56 katika ushindi wa 4-2 dhidi ya wenyeji, Burnley leo Uwanja wa Turf Moor. Bao lingine la The Blues limefungwa na Willian 58, wakati ya Burnley yamefungwa na Jay Rodriguez dakika ya 86 na Dwight McNeil dakika ya 89 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
CHELSEA YAICHAPA 4-2 BURNLEY ‘ PULISIC APIGA HAT TRICK’
By Alex Sonna
October 27, 2019 | 4:05 am

Related Stories
View all
Michezo
12 hours ago
ENGLAND YAIBUKA NAFASI YA 3 KOMBE LA DUNIA 2026, YICHAPA UFARANSA 6-4
Timu ya Taifa ya England imefanikiwa kumaliza katika nafasi ya tatu kwenye Kombe la Dunia baada ya kuifunga Ufaransa mabao 6-4 katika mchezo wa…
Michezo
2 days ago
SUBIRA IMEKWISHA! 😱⚽
Fainali ya FIFA WORLD CUP 2026 inakuja na Oryx Energies tuko tayari kuitazama pamoja nawe! Tukutane Mbagala Zakhem *Jumapili | 19 July 2026* Tunayo…
