Mshambuliaji Pierre-Emerick Aubameyang akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la ushindi dakika ya 84 ikiilaza 3-2 Aston Villa Uwanja wa Emirates leo. Mabao mengine ya Arsenal iliyomaliza pungufu baada kinda wake Ainsley Maitland-Niles kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 41 kufuatia kuonyeshwa kadi ya pili ya njano kwa kucheza rafu, yalifungwa na Nicolas Pepe kwa penalti dakika ya 59 na Callum Chambers dakika ya 81, wakati ya Villa yalifungwa na John McGinn dakika ya 20 na Wesley dakika ya 60 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
ARSENAL YAPINDUA MEZA KIBABE,YAICHAPA 3-2 ASTON VILLA
By Alex Sonna
September 22, 2019 | 7:52 pm

Related Stories
View all
Michezo
1 day ago
MHE. MBUNGE ANNE KILANGO AJIVUNIA MAFANIKIO YA ISSA CHOLE KUPITIA SAMIA CUP
Mamia ya wananchi wa Kata ya Kalemawe, Kijiji cha karamba wilayani Same, wamejitokeza kwa wingi kumpokea nyumbani kwao nyota chipukizi wa soka, Issa Chole,…
Mchanganyiko
3 days ago
MWIJAGE CUP YAZINDULIWA KAMACHUMU, TIMU 20 ZASHINDANIA SHILINGI MILIONI 6
Na Silivia Amandius Muleba,Kagera. Mashindano ya soka kwa vijana ya Kamachumu Paul Mwijage Cup yamezinduliwa rasmi katika Tarafa ya Kamachumu, Wilaya ya Muleba mkoani…
