KINDA wa miaka 17, Mason Greenwood akishangilia baada ya kuifungia Manchester United bao pekee dakika ya 73 katika ushindi wa 1-0 dhidi ya Astana kwenye mchezo wa Kundi L UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Old Trafford hilo likiwa bao lake la kwanza kabisa timu ya wakubwa kufuatia kupandishwa kutoka akasemi ya klabu PICHA ZAIDI SOMA HAPA
KINDA WA MIAKA 17 AIPA USHINDI MAN UNITED EUROPA LEAGUE
By Alex Sonna
September 20, 2019 | 9:55 am

Related Stories
View all
Mchanganyiko
16 hours ago
MWIJAGE CUP YAZINDULIWA KAMACHUMU, TIMU 20 ZASHINDANIA SHILINGI MILIONI 6
Na Silivia Amandius Muleba,Kagera. Mashindano ya soka kwa vijana ya Kamachumu Paul Mwijage Cup yamezinduliwa rasmi katika Tarafa ya Kamachumu, Wilaya ya Muleba mkoani…
Michezo
1 week ago
RAIS SAMIA ATOA NDEGE YA KUWACHUKUA MASHUJAA SERENGETI BOYS WALIOFIKA FAINALI YA AFCON U-17
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa usafiri wa ndege kwa ajili ya kuwachukua mashujaa wa Timu ya…
