Teemu Pukki akishangilia baada ya kupiga hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 32, 63 na 75 katika ushindi wa Norwich City wa 3-1 dhidi ya Newcastle United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Carrow Road. Bao la Newcastle limefungwa na Jonjo Shelvey dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI SOMA HAPA
PUKKI APIGA HAT TRICK,NORWICH CITY IKIIZAMISHA 3-1 NEWCASTLE UNITED
By Alex Sonna
August 17, 2019 | 5:37 pm

Related Stories
View all
Michezo
19 hours ago
YAS YAZINDUA MSIMU WA SITA WA ZANZIBAR INTERNATIONAL MARATHON 2026
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Dkt. Riziki Pembe Juma (katikati), akifurahia jambo na wadhamini na wadau wa Yas Zanzibar International Marathon…
Michezo
2 days ago
MAKAMU WA RAIS BALOZI DKT. NCHIMBI, ATEMBELEA UWANJA WA AFCON ARUSHA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi ametembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Arusha,…
