Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford akishangilia baada ya kuifungia timu hiyo mabao mawili dakika za 18 kwa penalti na 67 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa ufunguzi wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester. Mabao mengine ya United inayofundishwa na kocha Ole Gunnar Solskjaer yalifungwa na Anthony Martial dakika ya 65 na Daniel James dakika ya 81 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
Michezo
August 12, 2019
RASHFORD AFUNGA MAWILI MAN UNITED YAICHAPA 4-0 CHELSEA
By Alex Sonna
August 12, 2019 | 5:25 am

Related Stories
View all
Michezo
1 day ago
PSG YATINGA FAINALI YA LIGI YA MABINGWA ULAYA
Klabu ya PSG ya Ufaransa imetinga fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuingoa Bayern Munic kwa jumla ya mabao 6-5. PSG itamenyana na…
Michezo
2 days ago
CHAMA AIZAMISHA JKT TANZANIA
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya JKT Tanzania katika mchezo uliopigwa leo, Mei 6, 2026, kwenye…
