Ad imageAd image
By using this site, you agree to the Privacy Policy and Terms of Use.
Accept
Full Shangwe BlogFull Shangwe Blog
  • Home
  • Biashara
  • Burudani
  • Magazeti
  • Mchanganyiko
  • Michezo
  • Siasa
  • Teknolojia
  • TV
  • Makala
Reading: TAHA YAWASHAURI WADAU WA KILIMO KUCHANGAMKIA FURSA ZILIZOPO KATIKA ZAO LA RADISHI
Share
Aa
Aa
Full Shangwe BlogFull Shangwe Blog
Search
  • Home
  • Biashara
  • Burudani
  • Magazeti
  • Mchanganyiko
  • Michezo
  • Siasa
  • Teknolojia
  • TV
  • Makala
Follow US
© 2022 Flavour Media Company Limited. All Rights Reserved. Designed by Yatosha Web Services
Mchanganyiko

TAHA YAWASHAURI WADAU WA KILIMO KUCHANGAMKIA FURSA ZILIZOPO KATIKA ZAO LA RADISHI

joseph
Last updated: 2019/08/06 at 6:42 PM
joseph 6 years ago
Share
SHARE

**************

NA GLADNESS MUSHI ARUSHA 

watanzania wameshauriwa kuchanghamkia fursa zilizopo katika zao la radishi ambalo kwa sasa lina uhuitaji mkubwa sana kwenye mahitaji ya lishe ya mwanadamu 

aidha kwa sasa zao hilo ambalo liligunduliwa  Ugiriki limeweza kuwa lishe bora  kwa makundi ya watu ambao wanauhitaji mkubwa kwa kuwa lina virutubisho vya kutosha ndani yake 
hayo yameeelzwa na Meneja mkuu wa maendeleo kutoka Asasi kilele ya wadauwa mazao ya Horticuluture Tanzania(TAHA) Bw Anthony Chamanga wakati akizungumza na “FUULSHANGWE”mapema jana kwenye viwanja vya manoesho ya wakulima na wafugaji yanayoendelea katika viwanja vya themi jijini Arusha 
Chamanga alisema kuwa zao hilo ni moja ya fursa kubwa sana hasa kwa wadau wa kilimo Tanzania kama watachamkia fursa ambazo zipo kwa kuwa mahitaji ya zao hilo ni kubwa sana 
Alisema kuwa kwa sasa zao hilo linalimwa zaidi kwenye uwanda wa juu wa bahari, mwinuko pamoja  na nyanda za juu kusini lakini pia sehemu  zenye baridi 
Alifafanua kuwa mpaka sasa wao kama TAHA wameshafanikiwa kutoa elimu kwa wakulima zaidi ya 250 ambao wanatokea katika mikoa mbalimbali na ambao wamefakiwa kulima zao hilo wanatokea katika maeneo ya Lushoto, Arusha  na Kilimanjaro 
aliongeza  kwa kusema faidia ambazo zinapatikana katika zao hilo la Radishi kuwa ni pamoja na kusaidia mmengenyo wa chakula,ianmsaidia kuzuia kansa, inaaidia kupunguza uzito, inaweza kumlinda mtu na magonwja ya kansa, pamoja na kulinda vina saba vya binadamu 
alihitimisha kwa kusema kuwa zao hilo lina weza kutumika kama tunda lakini pia likatumika katika juisi na pia hata soko au uhitaji wake ni mkubwa sana hivyo wadau wanatakiwa kuhakikisha kuwa wanawasiliana na TAHA ili kupewa elimu na mbinu mbalimbali za kukuza na kuongeza zao hilo 

joseph August 6, 2019 August 6, 2019
Share this Article
Facebook Twitter Email Print
Previous Article TANGA UWASA YAUNGA MKONO JUHUDI ZA WAZIRI UMMY WAMKABIDHI SARUJI NA MADAWATI KWA SHULE ZA MSINGI TATU JIJINI TANGA
Next Article Wamiliki wa viwanda vya mvinyo arusha walalamikia changamoto ya ukosefu wa zao la rozela

Find Us on Socials

Full Shangwe BlogFull Shangwe Blog

© 2022 Flavour Media Company Limited. All Rights Reserved. Designed by Yatosha Web Services

Join Us!

Subscribe to our newsletter and never miss our latest news, podcasts etc..

[contact-form-7 id="250336" title="newslatter"]
Zero spam, Unsubscribe at any time.
adbanner
AdBlock Detected
Our site is an advertising supported site. Please whitelist to support our site.
Okay, I'll Whitelist
Welcome Back!

Sign in to your account

Lost your password?