Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo Nchini, Addo Komba,akisalimiana na viongozi kabla ya uzinduzi rasmi wa mashindano ya Mpira wa Miguu na Mpira wa Pete ya Buchimwe Cup 2019 yaliyoandaliwa na Diwani wa Kata ya Buigiri (CCM) Mhe.Kenneth Yindi wilaya ya Chamwino.
Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo Nchini, Addo Komba,akitetea jambo na Diwani wa kata ya Buigiri Mhe.Kenneth Yindi wakati wa uzinduzi rasmi wa mashindano ya Mpira wa Miguu na Mpira wa Pete ya Buchimwe Cup 2019 yaliyoandaliwa na Diwani wa Kata ya Buigiri (CCM) wilaya ya Chamwino.
Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo Nchini, Addo Komba,akisalimiana na Afisa Elimu Kata ya Buigiri,Emmanuel Lotto baada ya kusoma risala fupi kabla ya uzinduzi rasmi wa mashindano ya Mpira wa Miguu na Mpira wa Pete ya Buchimwe Cup 2019 yaliyoandaliwa na Diwani wa Kata ya Buigiri (CCM) (CCM) Mhe.Kenneth Yindi wilaya ya Chamwino.
Timu ya Buigiri Misheni wakiwa katika pozi la picha kabla ya kumenyana na Uguzi katika mashindano ya Buchimwe Cup 2019.
Kikosi cha timu ya Uguzi wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya mpambano wao dhidi ya Buigiri Misheni Buchimwe Cup 2019.
Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo Nchini, Addo Komba akiwa katika picha ya pamoja na waamuzi kabla ya kuzindua rasmi mashindano ya Mpira wa Miguu na Mpira wa Pete ya Buchimwe Cup 2019 yaliyoandaliwa na Diwani wa Kata ya Buigiri (CCM) wilaya ya Chamwino.
Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo Nchini, Addo Komba akiwa katika picha ya pamoja na Kikosi cha timu ya Uguzi FC kabla ya kuzindua rasmi mashindano ya Mpira wa Miguu na Mpira wa Pete ya Buchimwe Cup 2019 yaliyoandaliwa na Diwani wa Kata ya Buigiri (CCM) wilaya ya Chamwino.
Mkurugenzi Msaidizi wa Maendeleo ya Michezo Nchini, Addo Komba akiwa katika picha ya pamoja na Kikosi cha timu ya Buigiri Misheni FC kabla ya kuzindua rasmi mashindano ya Mpira wa Miguu na Mpira wa Pete ya Buchimwe Cup 2019 yaliyoandaliwa na Diwani wa Kata ya Buigiri (CCM) wilaya ya Chamwino.












