WAFUNGWA MASHABIKI WA SIMBA WAWALAZA WENZAO WA YANGA 1-0 ‘MAVUNDE AKABIDHI KOMBE NA MPIRA’







Kikosi cha Timu ya wafungwa wa Mashabiki wa Yanga wakiwa katika picha ya pamoja kabla ya Mechi yao na wenzao wa Simba iliyopigwa uwanja wa Gereza la Msalato lililopo jijini Dodoma.





