Siasa
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
MJUMBE WA KAMATI KUU ACT WAZALENDO AWATAKA VIONGOZI WA MAJIMBO KUIMARISHA MAPAMBANO YA KISIASA
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha ACT WAZALENDO Taifa, Raisa Abdallah, amewataka viongozi wa majimbo kuendelea kuimarisha mapambano ya kisiasa kwa lengo la…
WANACHAMA WA ACT WAZALENDO WATAKIWA KUONGEZA NGUVU YA CHAMA KUPITIA USAJILI WA WANACHAMA WAPYA
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama Cha ACT Wazalendo Tawi la Kitunda, Jimbo la Kiwani Mkoa wa Kusini Pemba, wametakiwa kuongeza juhudi za kusajili…
WASIRA AFICHUA SIRI CCM KUJIFANYIA TATHMINI
Na MWANDISHI WETU MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira amesema uamuzi wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) kutaka Chama kijifanyie…
RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA MRISHO KIKWETE AWASILI BOTSWANA KUMWAKILISHA RAIS SAMIA KATIKA MAZISHI YA HAYATI FESTUS MOGAE
GABORONE, BOTSWANA 15 Mei 2026 Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amewasili nchini…
DKT.MIGIRO AIMARISHA USHIRIKIANO KIMATAIFA NA MABALOZI WA CUBA, VIETNAM, NA UN
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Asha-Rose Migiro, kwa nyakati tofauti amekutana na kufanya mazungumzo na mabalozi wawili wanaoziwakilisha nchi zao katika…
WABUNGE WA DRC WAKUTANA NA SPIKA WA BUNGE LA TANZANIA
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu amekutana na Ujumbe wa Wabunge kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo…
UZINDUZI WA KAMPENI ZA CCM ISIMANI WAZINDULIWA ITUNUNDU
NA DENIS MLOWE, IRINGA UZINDUZI wa kampeni za uchaguzi wa ubunge wa Jimbo la Isimani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) umefanyika katika Kijiji cha…
RAIS RUTO AKUTANA NA WAZIRI MKUU DKT. MWIGULU NCHEMBA
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba akisalimiana na Rais wa Kenya Dkt. William Ruto wakati wa hafla ya ufunguzi wa Mkutano wa Ushirikiano kati ya…