Wananchi wakielimishwa kuhusu utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya umeme katika banda la Kampuni ya ETDCO wakati wa Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba), yanayofanyika kwenye Viwanja vya Mwalimu Julius K. Nyerere, Dar es Salaam, kuanzia Juni 28 hadi Julai 13, 2026.