MAMIA YA WAISLAM WASHIRIKI FUTARI FOUNTAIN GATE ACADEMY
Taasisi za elimu mkoani Dodoma zimeaswa kuzingatia malezi ya dini na kuzingatia misingi ya imani za wanafunzi wao pindi wanapokuwa shuleni. Haya yamesemwa na…
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
Taasisi za elimu mkoani Dodoma zimeaswa kuzingatia malezi ya dini na kuzingatia misingi ya imani za wanafunzi wao pindi wanapokuwa shuleni. Haya yamesemwa na…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akipokewa na Mwenyeji wake Rais Hage Geingob wa Namibia alipowasili katika Ikulu ya…
Naibu Waziri, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Anthony Mavunde, akizungumza na vijana wa CCM Wilaya ya Ubungo, wakati wa uzinduzi wa…
NA IS-HAKA OMAR,ZANZIBAR. VIONGOZI wa Ngazi mbali mbali za Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Tanzania Mkoa wa Magharibi wametakiwa kuendeleza Utamaduni…
Umati mkubwa wa wananchi unalipuka kwa shangwe na chereko wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli alipowasili katika uwanja…
Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Rais mstaafu wa awamu ya nne Mhe.Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakiwa…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Mkuu wa Majeshi Jenerali Venance Mabeyo wakati akiondoka katika Uwanja wa…
Makamu wa Rais wa Bunge la Afrika na Mbunge wa Shinyanga Mjini, Stephen Masele akizungumza Bungeni jijini Dodoma, Mei 23, 2019. (Picha na Ofisi…
Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Katavi Mh. Amos Makalla kulia akikabidhi rasmi ofisi kwa Mkuu wa mkoa wa mpya Mh. Juma Zuberi Homela. Aliyekuwa…
Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (R ) Mbarouk Salum Mbarouk akizungumza katika mafunzo ya usimamizi wa uchaguzi kwa wasimamizi wa…