Siasa
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
UVCCM yatamba kumpa kura za heshima JPM
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam, Mussa Kilakala, akizungumza katika uzinduzi wa Ilala ya Kijani. Makamu Mwenyekiti wa UVCCM, Tabia Mwita akiwa…
MWENYEKITI WA KITONGOJI CHA NYAKAHAMBA HUKO KEREGE AONDOKA NA KITONGOJI CHAKE KUKIMBILIA CCM
*************** NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ,Kitongoji cha Nyakahamba ,kata ya Kerege Frenk Masihaga na wakazi wengine 300…
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimkabidhi kadi ya CCM, Bw. Damas Shaltiel
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimpokea Bw. Damas Shaltiel ambaye ni Katibu wa Mbunge wa Kigoma Mjini, Mhe.…
CHADEMA KUFUNGUA KESI YA KUPINGA LISSU KUVULIWA UBUNGE
******************* NJOMBE Chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA kimesema kinakwenda mahakamani kupinda utaratibu uliyotumika kumvua ubunge aliyekuwa mbunge wa jimbo la Singida mashariki Tundu…
CCM DODOMA YAJIPANGA KUSHINDA KWA KISHINDO UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA,MBUNGE MAVUNDE AMWAGA VIFAA VYA UCHAGUZI
Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya Dodoma Mjini kimejipanga kuhakikisha kinapata ushindi mkubwa katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2019 kwa kuwafikia na kutatua kero,matatizo…
DKT BASHIRU AMFAGILIA OLE MILLYA
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt Bashiru Ally akisalimiana na Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara, James Ole Millya alipowasili kwenye ziara yake ya…
KASI YA RAIS DKT.MAGUFULI YAZIDI KUITESA CHADEMA,KIONGOZI MUHIMU AJIUNGA CCM
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kijiji cha Izava Mkoani Dodoma kupitia tiketi ya Chama hicho, Sokoine Mndewa kujiuzulu nafasi zake zote na kujiunga na Chama cha…
HALMASHAURI KUU YA CCM MKOA WA NJOMBE, YA AZIMIA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WANANCHI
Halmashauri kuu ya chama cha mapinduzi CCM mkoa wa Njombe iliyokutana Julai mosi 2019 katika ukumbi wa TURBO Njombe mjini, ilitoka na maazimio mbalimbali…
NAIBU WAZIRI MGUMBA AWATAKA WANANCHI KUTAMBUA KUWA SERIKALI YA DKT.MAGUFULI IMETEKELEZA MAJUKUMU YA ILANI YAKE YA UCHAGUZI WA 2015
NAIBU waziri wa Kilimo Omary Mgumba amewataka wananchi kutambua kuwa serikali ya awamu ya tano chini Dakta John Pombe Magufuli imefanya vizuri katika kutekeleza…