Friday, September 11, 2026

Mchanganyiko

Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.

58528 Stories
TIC YAWAKARIBISHA WAWEKEZAJI KUWEKEZA TANZANIA

TIC YAWAKARIBISHA WAWEKEZAJI KUWEKEZA TANZANIA

Meneja wa Kanda ya Mashariki TIC, Bw.Bevin Ngezi akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea mradi wa Mlimani City na kufanya mazungumza…

MSIWAUE WADUDU WACHAFUSHAJI: DKT KAMATULA

MSIWAUE WADUDU WACHAFUSHAJI: DKT KAMATULA

************************* Na Sixmund J. Begashe Jamii imetakiwa kuwatunza wadudu wachavushao kwa sababu ni muhimu kwa maisha ya binadamu na uzalisaji wa mazao mbalimbali, hivyo…

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro ameitaka Kamati ya Ujenzi inayojenga Mradi wa Ujenzi wa jengo la Makao Makuu ya Polisi mkoa wa Singida, kukamilisha mradi huo kwa muda uliokusudiwa ili liweze kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi.  IGP Sirro amesema hayo akiwa Mkoani Singida ambapo alikagua Mradi wa Ujenzi wa Jengo la Makao Makuu ya Polisi mkoani humo, mradi ambao unatekelezwa kupitia mfumo wa Nguvu kazi yaani Force Account na unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwezi wa saba mwaka huu.  IGP Sirro amekagua Mradi huo wakati akiwa safarini kuelekea mkoani Dodoma, akitokea mkoani Mara alilokua
WAITARA: TEMESA ONDOENI MAGARI MABOVU  YOTE

WAITARA: TEMESA ONDOENI MAGARI MABOVU  YOTE

Kaimu Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA), Heriel Mteri akiwasilisha taarifa ya Wakala kwa Naibu Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mwita…