Saturday, July 11, 2026

Mchanganyiko

Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.

57249 Stories
KAMPENI YA MPANGO HARAKISHI YA UIBUAJI WA WAGONJWA WA KIFUA KIKUU WILAYANI TUNDURU YAWAFIKIWA WAFUGAJI

KAMPENI YA MPANGO HARAKISHI YA UIBUAJI WA WAGONJWA WA KIFUA KIKUU WILAYANI TUNDURU YAWAFIKIWA WAFUGAJI

Baadhi ya Wananchi wa jamii ya Wafugaji wa kitonngoji cha Chilundundu kata ya Misechela wakisubiri kupata huduma ya uchunguzi na matibabu ya Ugonjwa wa kifua kikuu kutoka Wataalam wa kitengo cha kifua Kikuu na Ukoma Hospitali ya Wilaya Tunduru. Wataalam kutoka kitengo cha Kifua Kikuu na Ukoma Hospitali ya wilaya Tunduru wakitoa huduma ya uchunguzi kwa watu wa jamii ya Wafugaji wanaofanya shughuli zao katika kitongoji cha Chilundundu kata ya Misechela wilayani humo. ……………………… Na Muhidin Amri, Tunduru WIZARA ya Afya kupitia mpango wa Taifa wa kudhibiti Kifua Kikuu na Ukoma imesema,kampeni ya mpango harakishi wa uibuaji Wagonjwa wa Kifua Kikuu itawafikia watu wote waliobainika kuwa na maambukizi ya ugonjwa huo ambao hawakufikiwa mwaka 2024. Watu hao,wataanzishiwa Dawa haraka kwa ajili ya kuzuia uwezekano wa kuambukiza watu wengine  ili kuifanya Tanzania kuwa nchi salama bila kuwa na  watu walioambukizwa ugonjwa wa kifua kikuu ifikapo mwaka 2030. Hayo…

DKT. MASIKA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MRADI WA MEMBE

DKT. MASIKA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MRADI WA MEMBE

NIRC Dodoma  Mwenyekiti Bodi ya Uongozi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Dkt. Richard Masika amekiri kuridhishwa na hatua zinazofanywa na Tume katika utekelezaji miradi…