JKCI KUSHIRIKIANA NA CANADA MATIBABU YA MOYO YA WATOTO
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na Wataalamu kutoka Shirika la Sick Kids International la nchini Canada…
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akizungumza na Wataalamu kutoka Shirika la Sick Kids International la nchini Canada…
Baadhi ya Wananchi wa jamii ya Wafugaji wa kitonngoji cha Chilundundu kata ya Misechela wakisubiri kupata huduma ya uchunguzi na matibabu ya Ugonjwa wa kifua kikuu kutoka Wataalam wa kitengo cha kifua Kikuu na Ukoma Hospitali ya Wilaya Tunduru. Wataalam kutoka kitengo cha Kifua Kikuu na Ukoma Hospitali ya wilaya Tunduru wakitoa huduma ya uchunguzi kwa watu wa jamii ya Wafugaji wanaofanya shughuli zao katika kitongoji cha Chilundundu kata ya Misechela wilayani humo. ……………………… Na Muhidin Amri, Tunduru WIZARA ya Afya kupitia mpango wa Taifa wa kudhibiti Kifua Kikuu na Ukoma imesema,kampeni ya mpango harakishi wa uibuaji Wagonjwa wa Kifua Kikuu itawafikia watu wote waliobainika kuwa na maambukizi ya ugonjwa huo ambao hawakufikiwa mwaka 2024. Watu hao,wataanzishiwa Dawa haraka kwa ajili ya kuzuia uwezekano wa kuambukiza watu wengine ili kuifanya Tanzania kuwa nchi salama bila kuwa na watu walioambukizwa ugonjwa wa kifua kikuu ifikapo mwaka 2030. Hayo…
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji wa Rufaa Jacobs Mwambegele (kushoto) akizungumza jambo wakati wa mafunzo ya siku mbili kwa…
Mwenyekiti Mtendaji wa Shirika la PAKAYA Abdallah Ally Pendekezi akisoma risala katika Kikao kazi na Maafisa watendaji wa serikali Wilaya ya Kibiti Mkoani Pwani…
Wakili Mkuu wa Serikali, Dkt. Ally Possi, akiwasili kwenye viwanja vya Nyerere Square alipotembelea mabanda ya wadau mbalimbali wanaoshiriki Maadhimisho ya Wiki ya Sheria…
Na John Walter -Manyara Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Manyara, Mheshimiwa Peter Toima Kiroya, amewaonya wanasiasa wanaotumia majukwaa ya kijamii kusambaza…
NIRC Dodoma Mwenyekiti Bodi ya Uongozi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji Dkt. Richard Masika amekiri kuridhishwa na hatua zinazofanywa na Tume katika utekelezaji miradi…
Na.Alex Sonna-DODOMA KAIMU Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET), Dkt. Amani Makota,amesema kuwa Baraza hilo linakusudia…
Mkurugenzi wa Miundo, Ofisi ya Rais-TAMISEMI Bw. Peter Mhimba akizungumza na washiriki wa mafunzo ya uandaaji wa mkataba wa huduma kwa mteja (hawapo pichani)…