Alex Sonna
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
UTEKELEZAJI HATI YA MAKUBALIANO YA USHIRIKIANO KWENYE ELIMU KATI YA TANZANIA NA AFRIKA KUSINI WAANZA KWA KASI
Utekelezaji wa Hati ya Makubaliano ya ushirikiano kati ya Tanzania na Afrika Kusini kwenye maeneo mbalimbali ya elimumsingi umeanza kwa kasi ambapo leo Julai…
WATENDAJI 17 WAFIKISHWA MAHAKAMANI NA TAKUKURU DODOMA KWA UBADHILIFU WA FEDHA
MKUU wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoa wa Dodoma Sosthenes Kibwango,akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo Julai 28,2022…
AJALI ZA BARABARANI ZAONGOZA WAGONJWA MOI
Mkurugenzi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) Dk. Respicious Boniface, akizungumza na waandishi wa habari leo Julai 28,2022 jijini Dodoma kuhusu utekekezaji…
IMANI POTOFU INACHANGIA KUTOSHIRIKI CHANJO YA UVIKO-19
Na Joseph Lyimo WAKATI hivi sasa Serikali ipo kwenye shughuli ya kuhakikisha wananchi wake wanapata chanjo ya UVIKO-19 ili kuondokana na janga la maradhi…
SHAMRASHAMRA ZA KUADHIMISHA MWAKA MPYA WA KIISLAMU ZAFANYIKA
Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Idrissa Kitwana Mustafa (katikati)akiwa katika picha ya pamoja na Viongozi mbalimbali katika shamra shamra za maadhimisho ya mwaka…
BALOZI UMOJA WA NCHI ZA ULAYA AMTEMBELEA JAJI MKUU
Balozi wa Umoja wa Nchi za Ulaya (EU) Tanzania, Mhe. Manfredo Fanti (kushoto) akizungumza jambo alipokutana na Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis…
DC MOYO :ZAIDI YA WANANCHI 48, 434 WAMEJITOKEZA KUCHANJA CHANJO YA UVIKO 19
Mkuu wa wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo akishuhudia baaadhi ya wananchi wa wilaya hiyo wakipata chanjo ya UVIKO 19 kwa ajili ya kujikinga…
TANZANIA YAPIGA HATUA UTOAJI MIKOPO YA NYUMBA
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt Angeline Mabula (katikati) akiwa kwenye Mkutano Mkuu wa 41 wa Taasisi ya Shelter Afrique unaofanyika…
MBUNGE SILLO AFIKISHA ELIMU YA SENSA KATA 25,VIJIJI 102 BABATI VIJIJINI.
Na John Walter-Babati WANANCHI wa Wilaya ya Babati Mkoani Manyara wametakiwa kushiriki zoezi la sensa linalotarajiwa kufanyika tarehe 23 Agosti mwaka huu ili serikali…