Timu ya Chelsea nayo imefanikiwa kutinga hatua ya nne bora ya Kombe la Ligi baada ya kuifanyia mauaji ya mabao 6-0 Barnsley huku mchezaji mpya aliyesajiliwa kwa Paun Milioni 89, Kai Havertz akifunga mabao matatu peke yake dakika ya 28, 55 na 65, mabao mengine yakifungwa na Tammy Abraham dakika ya 19, Ross Barkley dakika ya 49 na Olivier Giroud dakika ya 83 Uwanja wa Stamford Bridge Jijini London PICHA ZAIDI SOMA HAPA
KAI HAVERTZ APIGA HAT TRICK CHELSEA YAILAZA 6-0 BARNSLEY CARABAO CUP
By Alex Sonna
September 24, 2020 | 4:02 am

Related Stories
View all
Michezo
14 hours ago
betPawa YADHAMINI LIGI YA KIKAPU DAR ES SALAAM KWA SH. 588.9 MILIONI
Meneja wa Kanda ya Kusini na Mashariki ya Afrika wa betPawa, Bwalya Noah akizungumza wakati wa kusaini mkataba wa msimu wa wa 2026 wa…
Michezo
22 hours ago
ARGENTINA NA ENGLAND KUMINYANA NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA
Timu ya Taifa ya Argentina imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia baada ya kuichapa Uswisi mabao 3-1 katika mchezo wa…
