Cristiano Ronaldo (wa pili kushoto) akipongezwa na makocha baada ya mechi dhidi ya Sampdoria, ambayo Juventus walishinda 2-0 usiku wa jana Uwanja wa Allianz Jijin0 Torino na kutwaa taji la Serie A kwa mara pili mfululizo tangu Mreno huyo ajiunge na timu hiyo na la tisa mfululizo kwao. Mabao ya Juventus yalifungwa na Cristiano Ronaldo dakika ya 45 na ushei na Federico Bernardeschi dakika ya 67 na kwa ushindi huo, Juventus inafikisha pointi 83 kuelekea mechi mbili za mwisho ikiizidi pointi saba Inter Milan inayoafuatia PICHA ZAIDI SOMA HAPA
JUVENTUS MABINGWA SERIE A KWA MARA YA TISA MFULULIZO
By Alex Sonna
July 27, 2020 | 10:13 am

Related Stories
View all
Michezo
13 hours ago
TAMASHA LA CLEMENT MZIZE WASHIKE MKONO MSIMU WA 1 KUFANYIKA UWANJA WA SAMORA JULAI 12 MWAKA HUU – MAPATO KUSAIDIA WENYE MAHITAJI IRINGA
NA DENIS MLOWE, IRINGA MCHEZAJI wa Yanga SC na Timu ya Taifa ya Tanzania, Clement Mzize, ametangaza rasmi kufanyika kwa tamasha la hisani la…
Michezo
1 day ago
UFARANSA YATINGA NUSU FAINALI YA KOMBE LA DUNIA 2026 KWA KUIONDOA MOROCCO
Timu ya Taifa ya Ufaransa imefanikiwa kutinga hatua ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2026 baada ya kuichapa Morocco mabao 2-0 katika mchezo…
