
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akiwa ameambatana na Mwenza wake Bi. Neema Nchemba, wamemtembelea na kumjulia hali Waziri Mkuu mstaafu, John Malecela nyumbani kwake jijini Dodoma leo tarehe 18 Juni, 2026.


Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba akiwa ameambatana na Mwenza wake Bi. Neema Nchemba, wamemtembelea na kumjulia hali Waziri Mkuu mstaafu, John Malecela nyumbani kwake jijini Dodoma leo tarehe 18 Juni, 2026.