Klabu ya PSG ya Ufaransa imetinga fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuingoa Bayern Munic kwa jumla ya mabao 6-5.
PSG itamenyana na Arsenal katika fainali ikayopigwa Mei 30, 2026 katika Uwanja wa Puskás Aréna, Budapest nchini Hungary.

Klabu ya PSG ya Ufaransa imetinga fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya kuingoa Bayern Munic kwa jumla ya mabao 6-5.
PSG itamenyana na Arsenal katika fainali ikayopigwa Mei 30, 2026 katika Uwanja wa Puskás Aréna, Budapest nchini Hungary.