📍BUNGENI DODOMA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Paul Makonda akiwa pamojana mshambuliaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Ivory Coast na Klabu ya Chelsea, Didier Drogba wakiwasili katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma, tayari kwa kuwasilisha Hotuba ya Bajeti ya Wizara hiyo kwa mwaka wa Fedha 2026/27, leo Mei 04, 2026