Mhe Mussa Mzungu Mti Mkavu ameteuliwa na Chama Cha Mapinduzi kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muumgano wa Tanzania katika uchaguzi wa ndani ya chama uliofanyika Leo.
1. Kura zilizopigwa – 364
2. Kura zilizoharibika – 0
MATOKEO.
1. Mhe. Masele – 16
2. Mhe Zungu – 348



