Daktari wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Peace Masaoe akimuelezea dalili za magonjwa ya moyo mwananchi aliyefika katika Hospitali ya JKCI-Dar Group iliyopo TAZARA Wilaya ya Temeke kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo zinazotolewa bila malipo katika maadhimisho ya siku ya moyo duniani.
Mteknolojia Maabara wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Ashura Salum akimpima sukari kwenye damu mwananchi aliyefika katika Hospitali ya JKCI-Dar Group iliyopo TAZARA Wilaya ya Temeke kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo zinazotolewa bila malipo katika maadhimisho ya siku ya moyo duniani.
Mfamasia kutoka kampuni ya dawa ya Hetero Labs Limited Joseph Justine akimpatia dawa mwananchi aliyefika katika Hospitali ya JKCI-Dar Group iliyopo TAZARA Wilaya ya Temeke kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo zinazotolewa bila malipo katika maadhimisho ya siku ya moyo duniani.
Fundi Sanifu wa Moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Eliza Shuma akimfanyia kipimo cha kuangalia mfumo wa umeme wa moyo mwananchi aliyefika katika Hospitali ya JKCI-Dar Group iliyopo TAZARA Wilaya ya Temeke kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo zinazotolewa bila malipo katika maadhimisho ya siku ya moyo duniani.
Afisa Masoko wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Rajabu Hamis akiwagawia wananchi vipeperushi vinavyoelezea magonjwa ya moyo, ugonjwa wa shinikizo la damu na lishe bora wananchi waliofika katika Hospitali ya JKCI-Dar Group iliyopo TAZARA Wilaya ya Temeke kwaajili ya kupata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo zinazotolewa bila malipo katika maadhimisho ya siku ya moyo duniani (Picha na JKCI)