UONGOZI wa klabu ya Yanga umemrejesha Mrundi, Cedric Kaze kuwa Kocha Msaidizi ws klabu hiyo chini ya Mtunisia, Nasreddine Nabi.
Kazi alikuwa Kocha Mkuu wa Yanga msimu uliopita na akafukuzea kwa matokeo mabaya kabla ya ujio wa Nabi.
YANGA YAWATAMBULISHA RASMI KAZE, ZAHERA


