Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akishiriki Ibada ya Misa Takatifu Maalum ya Wanajumuiya wa Uru Seminari, iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Kristo Mchungaji Mwema – Tabata Kimanga Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 08 Agosti 2026.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa na Askofu wa Jimbo Katoliki Kigoma, Mhashamu Joseph Mlola, Mapadre katika picha ya pamoja na Wanajumuiya wa Uru Seminari, mara baada ya kushiriki Ibada ya Misa Takatifu Maalum ya Wanajumuiya hao iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Kristo Mchungaji Mwema – Tabata Kimanga Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 08 Agosti 2026.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akizungumza na Wanajumuiya wa Uru Seminari, mara baada ya kushiriki Ibada ya Misa Takatifu Maalum ya Wanajumuiya hao iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Kristo Mchungaji Mwema – Tabata Kimanga Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 08 Agosti 2026.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa na Askofu wa Jimbo Katoliki Kigoma, Mhashamu Joseph Mlola, katika picha ya pamoja na Walimu wa Uru Seminari, mara baada ya kushiriki Ibada ya Misa Takatifu Maalum ya Wanajumuiya wa Shule ya Uru Seminari iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Kristo Mchungaji Mwema – Tabata Kimanga Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 08 Agosti 2026.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi akiwa na Askofu wa Jimbo Katoliki Kigoma, Mhashamu Joseph Mlola mara baada ya kushiriki Ibada ya Misa Takatifu Maalum ya Wanajumuiya wa Uru Seminari, iliyofanyika katika Kanisa Katoliki Parokia ya Kristo Mchungaji Mwema – Tabata Kimanga Jijini Dar es Salaam, leo tarehe 08 Agosti 2026.
