Kulikuwa na kipindi maishani mwangu ambapo nilihisi kama ndoto yangu ilikuwa karibu kuanguka mbele ya macho yangu. Nilikuwa nimewekeza kila kitu nilichokuwa nacho kufungua hoteli yangu ndogo. Ilikuwa ndoto ambayo nilikuwa nimeibeba kwa miaka mingi.
Mwanzoni mambo yalikuwa mazuri wateja walikuwa wanakuja, mapato yalikuwa yanaongezeka, na nilikuwa na matumaini makubwa kuhusu future ya biashara yangu. Lakini ghafla mambo yakabadilika…...SOMA ZAIDI
