Balozi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini China, Mheshimiwa Dkt. Suleiman H. Suleiman amewasilisha hati ya uwakilishi kwa Mheshimiwa Bw. Hong Lei, Msaidizi Waziri na Mkugenzi Mkuu wa Idara ya Itifaki ya Serikali ya Jamhuri ya Watu wa Wachina. Shughuli hiyo ikifanyika tarehe 14 Mei 2026 kwenye Ofisi za Wizara ya Mambo ya Nje ya China. Kabla ya hafla hiyo Balozi Suleiman na Bw. Hong Lei walifanya mazungumzo yaliyohusu zaidi kuendeleza ushirikiano wa China na Tanzania katika nyanja mbalimbali ikiwemo masuala ya kijamii, kidiplomasia, Uwekezaji katika Miradi mikubwa ya kimkakati na Uchumi kwa ujumla.
BALOZI SULEIMAN AZUNGUMZA NA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA CHINA
By John Bukuku
May 14, 2026 | 4:59 pm

Related Stories
View all
Mchanganyiko
13 minutes ago
TRA YAFANYA MKUTANO MKUU WA MWAKA WA TATHMINI YA UTENDAJI KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026 MKOANI ARUSHA
Na Happy Lazaro, Arusha Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanya Mkutano Mkuu wa Mwaka wa tathmini ya utendaji kwa mwaka wa fedha 2025/2026 mkoani…
Mchanganyiko
2 hours ago
RAIS SAMIA AWATEMBELEA WAGONJWA SHEIKH RASHID NA PACOME HOSPITAL YA AGA KHAN
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimjulia hali Sheikh Rashid Hamad Othman, Mlezi wa Mwenyekiti wa Taifa…