Balozi Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini China, Mheshimiwa Dkt. Suleiman H. Suleiman amewasilisha hati ya uwakilishi kwa Mheshimiwa Bw. Hong Lei, Msaidizi Waziri na Mkugenzi Mkuu wa Idara ya Itifaki ya Serikali ya Jamhuri ya Watu wa Wachina. Shughuli hiyo ikifanyika tarehe 14 Mei 2026 kwenye Ofisi za Wizara ya Mambo ya Nje ya China. Kabla ya hafla hiyo Balozi Suleiman na Bw. Hong Lei walifanya mazungumzo yaliyohusu zaidi kuendeleza ushirikiano wa China na Tanzania katika nyanja mbalimbali ikiwemo masuala ya kijamii, kidiplomasia, Uwekezaji katika Miradi mikubwa ya kimkakati na Uchumi kwa ujumla.
BALOZI SULEIMAN AZUNGUMZA NA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA CHINA
By John Bukuku
May 14, 2026 | 4:59 pm

Related Stories
View all
Mchanganyiko
1 hour ago
MAPATO YA NDANI KUFIKIA TRILIONI 46.8 KWENYE BAJETI MPYA YA SERIKALI
Na. Meleka Kulwa-Fullshangwe Blog, Dodoma Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar, amesema Bajeti ya Serikali ya mwaka 2026/27 ni ya kipekee kwani…
Mchanganyiko
2 hours ago
WRRB YANADI UFANISI WA MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA MISRI, YAFUNGUA MILANGO YA BIASHARA YA MIFUGO
Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB), Asangye Bangu, ameshiriki Jukwaa la Tanzania na Misri la Utalii,…