📍Bungeni Dodoma.

 

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limepitisha kwa kishindo Bajeti ya wizara ya Elimu kwa mwaka wa  fedha 2026/2027, Bajeti hiyo imepitishwa  Mei 8,2026 bungeni mara baada ya Wabunge kupata nafasi ya kuchangia kwa siku mbili Mei 7-8.

Awali akijibu hoja mbalimbali zilizoibuliwa na WabungeWaziri wa Wizara hiyo,Prof Adolf Mkenda amewashukuru Wabunge kwa michango yao huku akimshukuru Rais Samia kwa kutoa fedha katika miradi mbalimbali ya Wizara hiyo.