Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akimsikiliza Hope Mahokola (kushoto) ambaye ni Afisa Masoko wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) ambaye alitoa maelezo kuhusu majiko yanayotumia umeme kidogo, wakati alipotembelea banda la maonesho la STAMICO katika Tamasha la Azimio la Kizimkazi lililofanyika Kilimahewa Majumbakumi, Ruangwa, Desemba 31, 2024. Kulia kake ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi , Zainab Telack, wa pili kulia ni Mwakilishi wa Mkurugenzi wa TBC, Nestory Madirisha na kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Radio TBC, Anna Kwambaza. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
WAZIRI MKUU MGENI RASMI TAMASHA LA AZIMIO LA KIZIMKAZI. – 2
By John Bukuku
December 31, 2024 | 7:11 pm

Related Stories
View all
Mchanganyiko
5 hours ago
HAKUNA MASIKA YASIYOKUWA NA KIANGAZI
Usemi usemao hakuna marefu yasiyokuwa na ncha umetimia leo ambapo jumla ya maafisa na Askari 29 kutoka Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro na Mamlaka…
Mchanganyiko
5 hours ago
RAIS WA NAMIBIA ATEMBELEA MAJIRANI ZAKE WA ZAMANI MAGOMENI
Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, ametemebelea eneo la magomeni katika nyumba aliyowahi kuishi wakati wa harakati za ukombozi wa Namibia…