Viongozi na Wananchi wa Kata ya Mwankoko wakimzawadia mbuzi jike Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini kutokana na mchango wake mkubwa katika kuwafanikishia miradi mbalimbali ya maendeleo.
Msafara wa bodaboda ukiongoza magari katika ziara hiyo.
![]() |
Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini Musa Sima, akipata maelezo kutoka kwa wataalam wa TANESCO wakati wakimpa taarifa ya utekelezaji wa Umeme wa REA katika kata hiyo.
![]()
Diwani wa Kata ya Mwankoko, Emmanuel Madaki, akizungumzia miradi mbalimbali iliyotekelezwa kwenye kata hiyo. |
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Mwankoko, Yahaya Njoghomi akizungumza katika mkutano huo wa hadhara.
![]()
Ukaguzi wa ujenzi wa vyoo katika Shule Shikizi ya Mwachichi ukifanyika.
Maelezo yakitolewa wakati wa ukaguzi wa Shule Shikizi ya Mwachichi.
Muonekano wa Zahanati ya Mtaa wa Isomia baada ya ujenzi wake kufikia hatua za mwisho.
Ukaguzi wa ujenzi wa choo cha Zahanati hiyo ukifanyika.
Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini Musa Sima akizungumza na wnanchi baada ya kukagua ujenzi wa Zahanati hiyo.
Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini Musa Sima akilakiwa baada ya kuwasili kwenye mkutano wa hadhara.![]()
Kwaya ikitoa burudani.![]()
Mhandisi Beatus Samuel msimamizi wa utekelezaji wa umeme wa REA katika kata hiyo akijibu maswali ya wananchi kuhusu mradi huo.
Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini Musa Sima, akiwasalimia wazee waliofika kwenye mkutano huo.
Wanawake wakiwa kwenye mkutano huo.
Wanakwaya ya Samaria wakiwa kwenye mkutano huo.
Mkutano ukiendelea.![]()
Burudani za nyimbo za utamaduni wa kabila la Wanyaturu zikiimbwa.
Mserebuko ukifanyika kwenye mkutano huo.Kulia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kata ya Mwankoko, Yahaya Njoghomi, akicheza sanjari na Msanii wa Kata hiyo.
Wanafunzi nao walikuwepo kumsikiliza mbunge wao kipenzi baada ya kutoka shule.
Kwaya ya Samaria ikitoa burudani.
Burudani ikitolewa na Kwaya ya Samaria.
Taswira ya mkutano huo.
Mwenyekiti wa Kijiji cha Mwankoko A, Jacobo Yohana, akifungua mkutano huo.
Afisa Mtendaji wa Kata ya Mwankoko, Habiba Ryakuka , akiongoza mkutano huo.
Aliyekuwa Afisa Mtendaji wa Mtaa wa Isomia, Samson Samweli, ambaye sasa amepandishwa cheo na kuwa Afisa Mtendaji wa Kata ya Unyambwa baada ya kufanya kazi iliyotukuka ya kusimamia ujenzi wa Zahanati ya Mtaa wa Isomia akiwaaga rasmi wananchi wa mtaa huo.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Kata ya Mwankoko, Tumaini Jackson, akizungumza kwenye kikao hicho.
Katibu wa CCM wa Kata ya Mwankoko, Daud Muna , akizungumza kwenye mkutano huo.
Mjumbe wa Kamati ya Siasa wa Wilaya ya Singida, Hawa Ntandu, akizungumza.
Mkutano ukiendelea,
Mjumbe wa kamati ya siasa wa Wilaya ya Singida, Ramadhani Mtipa, akichangia jambo kwenye mkutano huo wakati akijitambulisha.
Maafisa kutoka SUWASA nao walikuwepo kwenye mkutano huo kwaajili ya kujibu maswali ya wananchi yaliyohusu changamoto ya maji. Kushoto ni Mhandisi Elisha Kivuyo na Neema ambaye ni Afisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja SUWASA Mkoa wa Singida.