2022
Latest updates on ministries, public service, parliament, policy decisions, and national administration.
VIJANA WATAKIWA KUCHANGAMKIA AJIRA ENDELEVU ZA KIMAZINGIRA
……………………… Wadau wa sekta binafsi, mazingira, vituo vya utafiti pamoja na vyuo vikuu nchini wametakiwa kuweka nguvu zaidi kuhakikisha wanaendeleza ajira endelevu za kimazingira…
WIZARA TATU ZAKUTANA KUJADILI MASUALA YA UKATILI SHULENI NA VYUONI
Mawaziri watatu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Desemba 21, 2022 wamekutana Jijini Dar es Salaam kujadili kuhusu suala la ukatili…
SIMBA SC, KAGERA SUGAR HAKUNA MBABE
******************* NA EMMANUEL MBATILO KLABU ya Simba imelazimika kugawana pointi moja na timu ya Kagera Sugar baada ya kutoka sare ya 1-1 kwenye mchezo…
PROF. MAKUBI APONGEZA KITENGO CHA HABARI KWA KAZI NZURI.
Katibu Mkuu, Wizara ya Afya Prof. Abel Makubi pamoja na Menejimenti wamepongeza Kitengo cha Mawasiliano Serikalini (GCU) kwa kuendelea kuhabarisha umma kuhusu taarifa mbalimbali…
WAZIRI MKENDA AHIMIZA MWISHO WA MWEZI JANUARI 2023 UJENZI WA VETA WILAYA ZOTE UWE UMEANZA
Na Mathias Canal, Dodoma Katika Bajeti iliyopitishwa Bungeni Jijini Dodoma ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ya mwaka 2022/2023 serikali imetenga jumla…
BENKI YA ACCESS YATOA MSAADA WA VIFAA TIBA KATIKA HOSPITALI YA TEMEKE
Julius Ruwaichi Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Access kikabidhi msaada wa vifaa vya kujifungulia kwa akina Mama kwa Mganga Mfawidhi wa hospitali Rufaa mkoa…
DC SIMANJIRO AWATAKA WAFANYABIASHARA KUWEKEZA KWENYE ELIMU
************************* Na Mwandishi wetu, Mirerani Wafanyabiashara wakubwa wa Madini ya Tanzanite wanaochimba na kununuwa madini katika Mji wa Mirerani Wilayani, Simanjiro Mkoani Manyara wamehamasishwa…
MLOGANZILA YAANZISHA HUDUMA YA KUWEKA PUTO KWENYE TUMBO LA CHAKULA KUSAIDIA WENYE UZITO MKUBWA KUPUNGUA.
******************* Hospitali ya Taifa Muhimbili-Mloganzila imezindua huduma mpya ya kuweka puto maalumu kwenye tumbo la chakula kwa watu wenye uzito uliopitiliza (intragastic ballon) ambayo…
RAIS DKT.HUSSEIN MWINYI AHUTUBIA MAHAFALI YA 20 YA CHUO CHA ZANZIBAR UNIVESITY (ZU)
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika Mahafali ya 20 ya Chuo cha Zanzibar Univesity (ZU) yaliyofanyika…