Mtoa huduma wa Vodacom Tanzania Foundation Walbarga Genes Massawe akiwaelekeza wanafunzi wa shule ya sekondari Azania namna ya kutumia huduma ya E- Fahamu inayowezesha wanafunzi kupata elimu kidijitali iliyoandaliwa na Asasi ya Vodacom Tanzania Foundation kwa kushirikiana na African Child Projects ambayo itaunganisha shule 50 za umma zilizoko katika mikoa 10 nchini (School Connectivity Project ).
Mtoa huduma wa Vodacom Tanzania Foundation Walbarga Genes Massawe (wapili kulia) akiwaelekeza wanafunzi wa shule ya sekondari Tambaza namna ya kutumia huduma ya E- Fahamu inayowezesha wanafunzi kupata elimu kidijitali iliyoandaliwa na Asasi ya Vodacom Tanzania Foundation kwa kushirikiana na African Child Projects ambayo itaunganisha shule 50 za umma zilizoko katika mikoa 10 nchini (School Connectivity Project ).
Mtoa huduma wa Vodacom Tanzania Foundation Walbarga Genes Massawe (wapili kulia) akiwaelekeza wanafunzi wa shule ya sekondari Tambaza namna ya kutumia huduma ya E- Fahamu inayowezesha wanafunzi kupata elimu kidijitali iliyoandaliwa na Asasi ya Vodacom Tanzania Foundation kwa kushirikiana na African Child Projects ambayo itaunganisha shule 50 za umma zilizoko katika mikoa 10 nchini (School Connectivity Project ).
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2022/03/Tambaza1-3-1.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2022/03/Jangwani3.jpg)