Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete akiwatunuku wahitimu wa Shahada ya uzamivu (PhD) kwenye Mahafali ya 15 ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) Jijini Dar es Salaam, leo.


Wahitimu wanne walopata Shahada ya juu ya Uzamivu ya udaktari wa Falsafa (wa kwanza kushoto waliokaa viti vya mbele), ni Mourice Mbunde,(kulia) ni Mboka Jacob, (waliokaa viti vya nyuma), ni Baraka Samweli (kulia),na Zuhura Idd Kimera (kushoto).

 Na: Mwandishi wetu, Dar

- Advertisement -
Ad imageAd image