Man City inafikisha pointi 23 na sasa inazidiwa pointi tatu na vinara, Chelsea wakati Man United inabaki na pointi zake 17 baada ya timu zote mechi 11.
MAN CITY YAICHAPA 2-0 MAN UNITED PALE PALE OLD TRAFFORD

Man City inafikisha pointi 23 na sasa inazidiwa pointi tatu na vinara, Chelsea wakati Man United inabaki na pointi zake 17 baada ya timu zote mechi 11.