Mjane wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere amemtembelea Mjane wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, awamu ya Tano, Mama Janeth Magufuli, nyumbani kwake jijni Dar es salaam leo. Mama Maria, aliyeongozana na mjukuu wake Bhoke Nyerere, alimkabidhi Mama Janeth zawadi ya Kitenge alipofika nyumbani hapo.
MAMA MARIA NYERERE AMTEMBELEA MJANE WA HAYATI MAGUFULI
By Alex Sonna
June 11, 2021 | 5:37 pm

Related Stories
View all
Mchanganyiko
6 hours ago
TANESCO YAONESHA TEKNOLOJIA ZA NYUMBA JANJA, MAJIKO YA UMEME SABASABA
Na John Bukuku, Dar es Salaam Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limewahimiza Watanzania kutembelea banda lake katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa…
Mchanganyiko
7 hours ago
ZAIDI YA WANANCHI 1,940 WAPIMWA MACHO BURE SABASABA
Zaidi ya wananchi 1,940 wamepatiwa huduma za bure za uchunguzi wa macho katika Banda la Mixx by Yas kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Biashara…



