BEKI wa kimataifa wa Zimbabwe, Peter Muduhwa amejiunga na Simba SC kutoka Highlanders FC ya kwao, Bulawayo kuimarisha kikosi cha Wekundu wa Msimbazi kabla ya kuanza kwa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa.
********************************
Mabingwa wa soka Tanzania Bara Simba wameilazimisha sare ya bila ya kufungana klabu ya Al-merrikh ya Sudani katika mchezo wa ligi ya mabingwa...