NAHODHA wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta jana ametunga bao la pili katika ushindi wa 3-1 wa Fenerbahce dhidi ya Ankaragucu kwenye mchezo wa nyumbani wa Ligi Kuu ya Uturuki.
........................................................................................
Timu ya anga imetinga Hatua ya 16 Bora michuano ya Kombe la Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), maarufu kama Azam Sports Federation Cup baada...