Watuhumiwa hao ni pamoja na Boniphace Emmanuel, Elitruda Ancelim, Twalib Ibrahim, Mwarami Omary, Vumilia Sultani Kaambi, James Joseph na Haidary Islamy.
Hata hivyo upande wa mashtaka umesema upelelezi bado unaendelea na haukuwa na kipingamizi katika kutolewa dhamana ambapo hakimu anayesikiliza kesi hiyo alisema kila mshtakiwa anapaswa kulipa shilingi milioni moja na kuwa na mdhamini mmoja baye sharti awe mtumishi wa Umma.
Kesi imehairishwa hadi tarehe 16.12.2020.



