Diogo Jota (kushoto) akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la ushindi dakika ya 64 ikiwalaza Sheffield United 2-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Sheffield United ilitangulia kwa bao la Sander Berge kwa penalti dakika ya 13, kabla ya Roberto Firmino kuisawazishia Liverpool dakika ya 41 na Mohammed Salah akafunga bao zuri kipindi cha pili ambalo VAR ilionyesha ameotea likakataliwa PICHA ZAIDI SOMA HAPA
LIVERPOOL YATOKA NYUMA NA KUICHAPA 2-1 SHEFFIELD UNITED
By Alex Sonna
October 25, 2020 | 4:11 am

Related Stories
View all
Michezo
1 week ago
SIMBA SC YALAZIMISHWA SARE YA PILI MFULULIZO KAGAME CUP 2026
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, wametoka sare ya bila kufungana (0-0) dhidi ya Jamus SSFC katika mchezo wa hatua ya makundi wa michuano ya…
Michezo
2 weeks ago
YAS YAZINDUA MSIMU WA SITA WA ZANZIBAR INTERNATIONAL MARATHON 2026
Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Dkt. Riziki Pembe Juma (katikati), akifurahia jambo na wadhamini na wadau wa Yas Zanzibar International Marathon…
