Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 27 kwa penalti katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Ferencvaros kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barcelona yalifungwa na Ansu Fati dakika ya 42, Philippe Coutinho dakika ya 52, Pedri dakika ya 82 na Ousmane Dembele dakika ya 89, wakati la Ferencvaros lilifungwa na Ihor Kharatin kwa penalti dakika ya 70 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
BARCELONA YAICHAPA 5-1 FERENCVAROS LIGI YA MABINGWA ULAYA
By Alex Sonna
October 21, 2020 | 7:11 am

Related Stories
View all
Michezo
20 hours ago
KOREA KUSINI YAICHAPA CZECHIA 2-1 KOMBE LA DUNIA
Timu ya Taifa ya Korea Kusini imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Czechia katika mchezo wa Kundi A uliochezwa nchini Mexico.…
Michezo
1 day ago
MEXICO YAIANZA KOMBE LA DUNIA KWA USHINDI WA MABAO 2-0 DHIDI YA AFRIKA KUSINI
Timu ya Taifa ya Mexico imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Timu ya Taifa ya Afrika Kusini katika mchezo wa ufunguzi…
