Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona bao la kwanza dakika ya 27 kwa penalti katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Ferencvaros kwenye mchezo wa Kundi G Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine ya Barcelona yalifungwa na Ansu Fati dakika ya 42, Philippe Coutinho dakika ya 52, Pedri dakika ya 82 na Ousmane Dembele dakika ya 89, wakati la Ferencvaros lilifungwa na Ihor Kharatin kwa penalti dakika ya 70 PICHA ZAIDI SOMA HAPA
BARCELONA YAICHAPA 5-1 FERENCVAROS LIGI YA MABINGWA ULAYA
By Alex Sonna
October 21, 2020 | 7:11 am

Related Stories
View all
Michezo
2 days ago
CHAMA AIPA YANGA SC PRESHA MBIO ZA UBINGWA
Kikosi cha Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, kimefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mashujaa FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania…
Michezo
2 days ago
MASHUJAA KUISIMAMISHA SIMBA SC LEO ?
NA NOEL RUKANUGA, DAR ES SALAAM Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwa michezo minne yenye ushindani mkubwa, huku vita ya kusaka pointi tatu…
