![]()
![]()
![]() |
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert Ibuge akipokelewa na Mkuu wa Kituo cha Huduma kwa Pamoja Mpakani cha Mutukula, alipowasili kwenye kituo hicho kujionea shughuli zinavyoendelea.
|
![]() |
Mkurugenzi wa Miundombinu kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki, Dkt. Kamugisha Kazaura akitoa maelezo namna EAC inavyoratibu upatikanaji wa fedha kwa ajili ya kutekeleza miradi ya kikanda. |
Ujenzi wa Mtambo wa Kuzalisha Umeme katika Mto Kagera
![]() |
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert Ibuge akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili kwenye eneo unapojengwa Mtambo wa Kuzalisha Umeme katika Mto Kagera.
|
![]() |
Balozi wa Tanzania nchini Burundi, Mhe. Dkt. Jilly Maleko akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili kwenye eneo unapojengwa Mtambo wa Kuzalisha Umeme katika Mto Kagera. |
![]() |
Mhandisi wa Kampuni inayojenga Mtambo wa kuzalisha umeme katika Mto Kagera akitoa maelezo kuhusu maendeleo ya ujenzi wa mtambo huo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert Ibuge |
![]() |
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert Ibuge akiuliza maswali kwa wahandisi wanaojenga mradi wa kuzalisha umeme katika Mto Kagera. |
![]() |
Sehemu ya Eneo unapojengwa Mtambo wa Kuzalisha Umeme katika Mto Kagera. OSBP ya Rusumo ![]() | Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert Ibuge akisalimiana na watumishi wa Kituo cha Kutoa Huduma kwa Pamoja Mpakani cha Rusumo, mara baada ya kuwasili kituoni hapo kwa ziara ya kikazi.
|
|
![]() |
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert Ibuge, Balozi wa Tanzania nchini Burundi, Dkt. Jilly Maleko, Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Mhandisi Steven Mlote pamoja na ujumbe wao akitemb kwa miguu kuelekea katika Kituo cha Kutoa Huduma kwa Pamoja Mpakani cha Rusumo. |
![]() |
Malori yakiwa katika foleni ya ukaguzi katika Kituo cha Kutoa Huduma kwa Pamoja Mpakani cha Rusumo. ![]() | Bango la kutoa elimu kuhusu wafanyabiashara wadogo wanavyoweza kufanya shughuli zao katika nchi a EAC bila usumbufu.
|
|
![]() |
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brig. Gen. Wilbert Ibuge na ujumbe wake wakiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Kituo cha Huduma kwa Pamoja Mpakani cha Rusumo. |