Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Ally Samatta tayari yupo Birmingham na timu yake, Aston Villa wakijiandaa na msimu mpya wa Ligi Kuu ya England. Aston Vlla iliyonusurika kushuka daraja msimu uliopita, msimu ujao itaanza na Sheffield United Septemba 19 Uwanja wa Villa ParkĀ
SAMATTA AKIJIFUA NA ASTON VILLA KUJIANDAA NA MSIMU MPYA WA LIGI KUU YA ENGLAND
By Alex Sonna
August 23, 2020 | 9:21 am

Related Stories
View all
Michezo
15 hours ago
YANGA SC YAREJEA KILELENI LIGI KUU TANZANIA BARA
Mabigwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga Sc imeibuka na ushindi wa mabao 3-0 ya dhidi ya Singida Black Stars katika mchezo uliochezwa leo…
Michezo
2 days ago
USHINDI WA SIMBA SC DHIDI YA COASTAL UNION, WAONGEZA PRESHA KWA YANGA
Wekundu wa Msimbazi, Simba SC, imefanikiwa kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Coastal Union katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa…
