ALIYEKUWA kocha wa Yanga SC, Mwinyi Zahera kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) amejiunga na klabu ya Gwambina FC ya Misungwi mkoani Mwanza iliyopanda Ligi Kuu ya Tanzania Bara msimu huu
Kikosi cha Yanga SC kimepata matokeo yasiyoridhisha baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Aigles du Congo katika mchezo wa kirafiki uliochezwa…