Aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Ubungo jijini Dar as salaam kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo – CHADEMA Bwana Said Kubenea ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na chama cha ACT WAZALENDO.
SHARE.
Aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Ubungo jijini Dar as salaam kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo – CHADEMA Bwana Said Kubenea ametangaza kukihama chama hicho na kujiunga na chama cha ACT WAZALENDO.
Sign in to your account